Tamko la asasi za kiraia
TAARIFA YA ASASI ZA KIRAIA KWA UMMA KUHUSU KUFUTWA KWA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2012; 07 Mei 2013 Tarehe 03 Mei 2013, serikali ilitangaza Bungeni kuwa imeyafuta matokeo ya Kidato cha Nne ya mwaka 2012 ili yafanyiwe maboresho (standardization) na baadaye kupangwa upya kwa kutumia utaratibu uliotumika mwaka 2011. Akiwasilisha tamko la serikali bungeni, Mh.
