Mada hii inalenga katika kuchochea mjadala na kutoa taarifa zaidi katika mchakato unaoendelea wa kupata katiba mpya ya Jamhuri wa Muungano wa Tanzania. Inatoa majumuisho (usanisi) ya mapitio ya katiba ya sasa ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Katiba za baadhi ya nchi zilizochaguliwa ambazo zimezingatia haki za mazingira, uhifadhi na menejimenti yake. Mapitio hayo yanadokeza uingizaji wa vipengele vya haki za mazingira, uhifadhi na manejimenti yake katika itakayokuwa - katiba mpya. Mada hii inatoa mapitio na mapendekezo juu ya nini kifanyike ili kuhakikisha kuwa
mambo ya msingi yameingizwa katika itakayokuwa katiba mpya.Kusoma zaidi tafadhali angalia hapo chini.
Search
Upcoming Events
There is no upcoming events.
If you have any feedback or you would like to obtain policies related materials, please reach us through:
- P.O. BOX 38486, Dar es Salaam
- (+255) 782 317 434
- info@policyforum.or.tz