Mkutano wa ufuatiliaji matumizi ya fedha za umma Afrika Mashariki
Katika miaka kumi iliyopita, asasi za kiraia katika nchi zaidi ya 60 duniani zimeanzisha mikakati ya kuchunguza jinsi serikali zao zinavyotumia pesa za umma. Harakati hizi zimefikia kuangalia kila hatua katika ya mchakato wa bajeti: mipango, utengaji wa mafungu, matumizi na matokeo ya matumizi.