Skip to main content

Social Accountability

Vinara wa Uwajibikaji Wajengewa Uwezo Kuhusu Mfumo Ulioboreshwa wa O&OD na Mchakato wa Bajeti katika Ngazi ya Msingi

Imechapishwa na Policy Forum

 

Vinara wa Uwajibikaji (Community Accountability Champions – CACs) kutoka wilaya za Tanganyika mkoani Katavi na Mpwapwa mkoani Dodoma wamejengewa uwezo kupitia mafunzo maalum yaliyoratibiwa chini ya mradi wa Raia Makini, unaotekelezwa na Wajibu – Institute of Public Accountability kwa kushirikiana na Policy Forum, kwa ufadhili wa pamoja kutoka Umoja wa Ulaya (EU).

Uswisi kushirikiana na Tanzania kuimarisha uwajibikaji

Imechapishwa na Policy Forum

Ubalozi wa Uswisi hapa nchini kupitia Shirika la Maendeleo na Ushirikiano la Uswisi SDC umezindua awamu ya tatu ya programu ya uwajibikaji wa kijamii (Social Accountability Programme - SAP) ambayo inachangia kuziwezesha asasi za kiraia (AZAKI) zinazofanya kazi ili kuboresha uwajibikaji nchini Tanzania.

Lindi Region Association of Non Governmental Organizations (LANGO)

Imechapishwa na Policy Forum

Lindi Region Association of Non Governmental Organizations (LANGO) ni asasi iliyoanzishwa mnamo Juni, 2007 na kusajiliwa tarehe 29 Septemba 2008 na Msajili wa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali chini ya Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto kwa Nambari ya Usajili 08NGO / 00002518 chini ya kifungu cha 12 (2) Sheria Na. 24 ya 2002 Wanachama wa LANGO ni Mitandao ya NGO ya Wilaya inayofanya kazi katika Wilaya ya Lindi (LINGONET), Liwale (ULIDINGO), Kilwa (KINGONET), Ruangwa (RUANGONET) na Nachingwea (NANGONET).

Subscribe to SA