Tathmini ya Usimamizi wa Rasilimali hupima ubora wa usimamizi katika sekta za mafuta, gesi, na uchimbaji wa madini
Uchimbaji madini huchangia asilimia 5 ya pato ghafi la ndani na theluthi moja ya mauzo ya nje.. Mwaka 2011 thamani ya mauzo ya nje ya madini ilifikia kiasi cha dola za marekani bilioni 2.1, kati ya hizo zaidi ya asilimia 95 zilitoka katika machimbo sita ya dhahabu. Kusoma zaidi bofya hapa