Uchimbaji madini huchangia asilimia 5 ya pato ghafi la ndani na theluthi moja ya mauzo ya nje.. Mwaka 2011 thamani ya mauzo ya nje ya madini ilifikia kiasi cha dola za marekani bilioni 2.1, kati ya hizo zaidi ya asilimia 95 zilitoka katika machimbo sita ya dhahabu. Kusoma zaidi bofya hapa
Search
Upcoming Events
There is no upcoming events.
If you have any feedback or you would like to obtain policies related materials, please reach us through:
- P.O. BOX 38486, Dar es Salaam
- (+255) 782 317 434
- info@policyforum.or.tz