Skip to main content

Mchango wa Redio ya Jamii katika Kutatua Changamoto za Afya, Newala

Imechapishwa na Policy Forum

Policy Forum (PF) ni mtandao wenye muunganiko wa zaidi ya asasi za kiraia 60 ulioanzishwa mwaka 2003 kwa mujibu wa sheria za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Wanachama wa PF wana malengo ya kuhamasisha utungwaji wa sera zenye kulenga kupunguza umaskini, kuleta uwajibikaji katika fedha za umma kuanzia ngazi ya chini hadi Serikali Kuu.

Mchango wa Redio ya Jamii katika Kutatua Changamoto za Afya, Newala

Policy Forum (PF) ni mtandao wenye muunganiko wa zaidi ya asasi za kiraia 60 ulioanzishwa mwaka 2003 kwa mujibu wa sheria za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Wanachama wa PF wana malengo ya kuhamasisha utungwaji wa sera zenye kulenga kupunguza umaskini, kuleta uwajibikaji katika fedha za umma kuanzia ngazi ya chini hadi Serikali Kuu.

Kwa nini afya siyo kipaumbele katika bajeti ya taifa 2011/12

Imechapishwa na Policy Forum

Mchakato wa bajeti ya mwaka unatoa fursa ya kutathmini kama taarifa kwa umma kuhusu vipaumbele vya serikali vinafuatwa. Kwa mfano, katika miaka ya hivi karibuni serikali imeonyesha nia ya kutaka kupata thamani halisi ya fedha kadri inavyotoa bajeti yake ili kuweza kukabiliana na matumizi yasiyo ya lazima. Uchambuzi huu wa bajeti ya sekta ya afya 2011/12 kwa ufupi unatoa malengo maalumu yanayo tathmini thamani ya fedha. Uchambuzi unapima jinsi rasilimali zilizopo zimeweza kugawanywa na kama mgawanyo huo utaweza kuleta mabadiliko katika sekta ya afya.

KIFO CHA MWANAMKE MJAMZITO MWANANYAMALA HOSPITALI - FEMACT

Imechapishwa na Policy Forum

Tumepokea na kufuatilia mkanganyiko wa sababu za kifo cha mama mjamzito (Tedy Dimoso) na kichanga wake wakati wa kujifungua kwa masikitiko makubwa sana. Kwa mujibu wa barua kutoka kwa msimamizi wa mirathi kifo hiki kilitokea tarehe 01/06/2008 katika hospitali ya Mwananyamala. Barua hiyo ya tarehe 06/06/2008 kwenda kwa Waziri wa Afya inatoa maelezo kwa kina jinsi kifo hicho kinavyoweza kuwa kimetokea kwa uzembe.

Community of Volunteers for the World (CVM) – Comunità Volontari per il Mondo) AIDS Partnership with Africa (APA)

Imechapishwa na Policy Forum

CVM / APA ni shirika lisilo la kiserikali la Kiitaliano lenye zaidi ya uzoefu wa miaka 30 katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo barani Afrika na Asia. Kazi zetu zimejikita zaidi kwenye sekta za maji na usafi wa mazingira, VVU / UKIMWI, Kukuza ushirikiano wa wazawa, usawa wa kijinsia na mikopo midogo midogo.

World vision Tanzania

Imechapishwa na Policy Forum

Tanzania imepata ukuaji mkubwa wa uchumi katika muongo mmoja uliopita. Ingawa kiwango cha umaskini nchini kimepungua, idadi kamili ya watu maskini haijapungua kwa sababu ya kiwango cha juu cha ukuaji wa idadi ya watu. Hivyo, watoto bado wanakabiliwa na changamoto nyingi ikiwemo unyanyaswaji, utapiamlo, huduma duni za afya na elimu na huduma zingine za kimsingi.

Subscribe to Health