The Pastoralists Indigenous Non Governmental Organization's Forum (PINGO's Forum)
Mtandao wa Asasi Zisizo za Kiserikali za Wafugaji (PINGO’s Forum) ni mtandao wa uchechemuzi wa mashirika ya wazawa ambayo kwa sasa yapo 53 yanayojihusisha na utetezi wa haki za makundi ya pembezoni ya wafugaji na wawindaji. Mtandao wa PINGO’s ulianzishwa mwaka 1994 na Asasi sita za wafugaji na wawindaji waliokuwa katika jitihada za kufatuta haki za ardhi na maendeleo kwa ujumla.
Mojawapo ya kazi zinazofanywa na mtandao wa PINGO’s ni: