Mwelekeo wa Katiba Mpya Tanzania:Tulikotoka,Tulipo na Tuendako
Ndugu msomaji wetu na mtumiaji wa kitabu hiki tunakuletea kitabu hiki cha “Mwelekeo wa Katiba Mpya Tanzania: Tulikotoka,Tulipo na Tuendako” likiwa ni chapisho maalum katika awamu ya pili ya mchakato wa kuandika katiba mpya nchini Tanzania.Kusoma zaidi bofya hapa.