Skip to main content
Imechapishwa na Policy Forum

Kitabu hiki ni mfululizo wa mchango wa Policy Forum kwenye mchakato wa kuandika katiba mpya hapa nchini Tanzania toka uanze mnamo Disemba 2010, kitabu hiki ni cha tatu katika mfululizo huo wa vitabu vilivyotolewa na Policy Forum kuchangia uelewa. Kusoma zaidi bofya hapa.