Skip to main content

Taarifa ya Ufuatiliaji wa Uchaguzi Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Oktoba 25, 2015

Imechapishwa na Policy Forum

Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) kwa kushirikiana na Policy Forum, ilifuatilia mchakato wa uchaguzi mkuu wa Tanzania wa mwaka 2015 katika mikoa ya Dar es Salaam, Lindi na Mwanza. Lengo kuu la ufuatiliaji huo lilikuwa ni kutathimini uzingatiaji wa misingi ya kidemokraisa, haki za binadamu, na utawala bora kwenye mchakato mzima wa uchaguzi mkuu wa 2015. Kusoma zaidi bofya hapa.

Subscribe to Democracy