Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) kwa kushirikiana na Policy Forum, ilifuatilia mchakato wa uchaguzi mkuu wa Tanzania wa mwaka 2015 katika mikoa ya Dar es Salaam, Lindi na Mwanza. Lengo kuu la ufuatiliaji huo lilikuwa ni kutathimini uzingatiaji wa misingi ya kidemokraisa, haki za binadamu, na utawala bora kwenye mchakato mzima wa uchaguzi mkuu wa 2015. Kusoma zaidi bofya hapa.
Search
Upcoming Events
There is no upcoming events.
If you have any feedback or you would like to obtain policies related materials, please reach us through:
- P.O. BOX 38486, Dar es Salaam
- (+255) 782 317 434
- info@policyforum.or.tz