Watanzania wamekuwa na desturi ya kushirikiana na kufanya kazi kwa pamoja ili kuboresha maisha yao. Desturi hii ilikuwepo na ilisimamiwa kwa kiasi kikubwa na Baba wa Taifa Mwalimu Julius K. Nyerere. Serikali kupitia Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI) inaamini kwamba jamii itapata maendeleo makubwa kwa kuitumia na kuiendeleza.
Search
Upcoming Events
There is no upcoming events.
If you have any feedback or you would like to obtain policies related materials, please reach us through:
- P.O. BOX 38486, Dar es Salaam
- (+255) 782 317 434
- info@policyforum.or.tz