Skip to main content

Sustainable Development Goals

Malengo Ya Maendeleo Endelevu Na Wajibu Wa Serikali Za Mitaa

Imechapishwa na Policy Forum

Ndugu Msomaji, tunafurahi kwa mara nyingine kukuletea kitabu kipya kiitwacho “Malengo ya Maendeleo Endelevu na Wajibu wa Serikali za Mitaa” ikiwa ni mwendelezo wa mkakati wa Kikundi Kazi cha Serikali za Mitaa cha Jukwaa la Sera (PF-LGWG) kwa kuelimisha wananchi kuhusu sera za kitaifa na kimataifa zinazopaswa kutekelezwa na Serikali za Mitaa ili kuhamasisha ushiriki wa
wananchi kwenye masuala ya umma na kukuza uwajibikaji katika jamii.

Subscribe to SDGs