Skip to main content

Tamko La Asasi Za Kiraia Juu Ya Mafanikio Na Madhara Kwa Tanzania Kuendelea Kutumia Ushauri Wa IMF

Imechapishwa na Policy Forum

Sisi wajumbe wa Asasi za kiraia za ki-Tanzania tuliokutana leo ukumbi wa Dar es Salaam International Conference Centre, tarehe 10 Machi 2009 kwa uratibu wa mtandao wa Policy Forum, Human Development Trust na Tanzania AIDs Forum, baada ya kujadili na kutafakari kwa kina taarifa za ''mafanikio'' ya utekelezaji mipango ya IMF na sera za Tanzania ki-uchumi kwa miaka ya 2000 hadi 2008 tumebaini yafuatayo:-

1. Ni kweli takwimu zinaonesha kukua kwa uchumi kwa wastani wa zaidi ya asilimia 7% kwa kipindi tajwa,

The Pastoralists Indigenous Non Governmental Organization's Forum (PINGO's Forum)

Imechapishwa na Policy Forum

Mtandao wa Asasi Zisizo za Kiserikali za Wafugaji (PINGO’s Forum) ni mtandao wa uchechemuzi wa mashirika ya wazawa ambayo kwa sasa yapo 53 yanayojihusisha na utetezi wa haki za makundi ya pembezoni ya wafugaji na wawindaji. Mtandao wa PINGO’s ulianzishwa mwaka 1994 na Asasi sita za wafugaji na wawindaji waliokuwa katika jitihada za kufatuta haki za ardhi na maendeleo kwa ujumla.

Mojawapo ya kazi zinazofanywa na mtandao wa PINGO’s ni:

Subscribe to Economic rights