Mapato ya serikali yanayotokana na sekta ya mafuta, gesi asilia na madini mara nyingi hufichwa na mwamvuli wa usiri unaotoa mwanya
wa kushamiri ufisadi na usimamizi mbaya. Kwa raia wa kawaida kufaidika, na nchi kukua, lazima taarifa zifichuliwe kuhusu kiasi gani cha
pesa kinazalishwa na kinaenda wapi. Uwazi kama huu wa mapato ni muhimu sana kwa wabunge ili kuhakikisha kuwa mapato yanatumika kwa faida ya majimbo yao, na kwa ujumla, nchi nzima. Kwa maelezo zaidi tafadhali bofya hapa.
Search
Upcoming Events
There is no upcoming events.
If you have any feedback or you would like to obtain policies related materials, please reach us through:
- P.O. BOX 38486, Dar es Salaam
- (+255) 782 317 434
- info@policyforum.or.tz