Skip to main content

Mkurugenzi wa TAKUKURU Afurahishwa na Kampeni ya Kudhibiti Upotevu wa Fedha za Umma

Imechapishwa na Policy Forum

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) imesema imefurahishwa na kampeni ya Policy Forum iitwayo Stop the Bleeding ambayo inahusu udhibiti wa upotevu wa fedha za Umma kupitia njia haramu zikiwemo utakatishaji wa fedha na ukwepaji kodi. Hayo yamesemwa Novemba 11, 2018 Jijini Dodoma na Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU Diwani Athumani alipokuwa akiongea na Wabunge wa Bunge Tanzania Wanaopamba na Rushwa (APNAC).

Makosa ya Rushwa Katika Chaguzi Tanzania

Imechapishwa na Policy Forum

Policy Forum na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) tunakuletea tena chapisho hili la tatu katika mtiririko wa machapisho yanayohusu elimu kwa umma juu ya kupambana na rushwa.
Mtakumbuka kuwa chapisho letu la kwanza la pamoja lilihusu sheria mpya namba 11 ya mwaka 2007 ya kuzuia na kupambana na rushwa hapa Tanzania,

Chapisho hili linaweka wazi sheria zetu zinavyosema kuhusu makosa yarushwa katika chaguzi hapa nchini Tanzania na adhabu zinazotolewa kwa makosa husika,

Ufisadi katika sekta ya umeme unapima uadilifu na uwajibikaji wa serikali ya Tanzania

Imechapishwa na Policy Forum

Kufuatia kutolewa na kujadiliwa kwa taarifa ya  Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Serikali (CAG) kuhusu Independent Power Tanzania Limited (IPTL)  Akaunti  ya Tegeta  ya Escrow (TEA) bungeni  na kilio cha umma kilichofuatia  kuhusu kufichuliwa kwa  ufisadi ambao haujawahi kuwapo wa aina  hiyo, Sisi, Asasi za Kiraia (AZAKI) tajwa hapo chini , tunapenda kuwasilisha msimamo wetu wa pamoja kuhusu utata wa suala hili.

Prevention and Combating of Corruption Act 2007

Imechapishwa na Policy Forum

Together with the Prevention and Combating of Corruption Bureau  (PCCB), Policy Forum Prevention this year published the popular version of the Prevention and Combating of Corruption Act 2007 (article 11) in Swahili entitled: IFAHAMU SHERIA MPYA YA KUZUIA NA KUPAMBANA NA RUSHWA NCHINI NAMBA 11 YA MWAKA 2007.

The booklet is in pdf format click here to see the cover page and here to see the booklet

Subscribe to Corruption