Skip to main content

Biharamulo Originating Economic Development Association (BOSEDA)

Imechapishwa na Policy Forum

Biharamulo Originating Economic Development Association (BOSEDA) ni NGO iliyosajiliwa ambayo inashirikiana kwa karibu na wadau wengine kutoa huduma zinazokidhi mahitaji kwa jamii katika sekta za Elimu, Afya, Uhifadhi wa Mazingira, Sera za kitaifa, Jinsia, Haki za Binadamu, Utawala Bora na Demokrasia pamoja na elimu ya kiuchumi kwa kutumia rasilimali zilizopo za ndani.

Subscribe to Kagera