Skip to main content
Imechapishwa na Policy Forum

Mtandao wa Madeni na Maendeleo Tanzania (TCDD) ni muungano wa asasi za kiraia nchini Tanzania ambao umejitolea kufanya shughuli mbalimbali za ushawishi na uchechemuzi juu ya sera, bajeti, deni la Taifa, kutokomeza umaskini na maendeleo endelevu.

-6.766556733892, 39.231396211228