Skip to main content
Imechapishwa na Policy Forum

Policy Forum imetoa tangazo juu ya Sekta ya nishati na madini Tanzania ambalo kwa sasa linarushwa hewani katika vituo viwili vya Televisheni ambavyo ni ITV na Star TV. Lengo la tangazo ni kuwafanya raia wa kawaida wa Tanzania kuuliza viongozi wao juu ya rasilimali ya madini yao ambayo inapaswa kutumiwa kwa manufaa ya watanzania na si vinginevyo. Ona tangazo chini