Skip to main content
Imechapishwa na Policy Forum

Tanzania imesifiwa sana kuwa inaendesha uchumi wake katika njia sahihi. Katika chapisho la hivi karibuni, “Tanzania: the story of an African transition”, shirika la fedha duniani IMF, linadai kuwa katika miongo miwili iliyopita, uchumi wa Tanzania umepitia kipindi cha mpito chenye mafanikio, ambapo uchumi huria na mageuzi ya kitaasisi yamepelekea kuongezeka kwa pato la taifa hadi kufikia zaidi ya 7% kwa mwaka tangu 2000. bofya hapa