Toleo la Bajeti ya Wananchi 2016/2017 kama ilivyokuwa kwa matoleo yaliyotangulia1, linakusudia kutoa maelezo rahisi na wazi kuhusu Bajeti ya Serikali ya 2016/17. Kimsingi, Bajeti ya Serikali ni makadirio ya mapato na matumizi yanayoandaliwa na Serikali kwa mwaka. Ni chombo muhimu kinachotumiwa na Serikali kutekeleza maamuzi yake ya sera kwa vitendo kisiasa, kijamii na kiuchumi. Aidha, ni andiko ambalo linaonesha jinsi Serikali inavyopanga kukusanya mapato kupitia vyanzo mbalimbali na jinsi inavyotarajia kutumia kulingana na vipaumbele vilivyopangwa katika mwaka husika wa fedha.Kusoma zaidi bofya hapa.
Search
Upcoming Events
There is no upcoming events.
If you have any feedback or you would like to obtain policies related materials, please reach us through:
- P.O. BOX 38486, Dar es Salaam
- (+255) 782 317 434
- info@policyforum.or.tz