Nchi yetu iko kwenye mchakato wa kuandika Katiba mpya. Katiba iliyopo iliachwa na wakoloni waingereza ili itumike kwa muda wakati Katiba ya kudumu ikiandaliwa na watanzania wenyewe. Matarajio ya kuweza kuandaa mchakato wa kupata Katiba ya watanzania wenyewe hayajawahi kufanikiwa. Tume mbalimbali za Katiba zilizowahi kuundwa ili kuongoza mchakato wa kupata katiba zilishindwa kuwezesha ushiriki wa kutosha wa wananchi kujiandikia Katiba yao. Tafadhali angalia kitabu hapo chini.
Search
Upcoming Events
There is no upcoming events.
If you have any feedback or you would like to obtain policies related materials, please reach us through:
- P.O. BOX 38486, Dar es Salaam
- (+255) 782 317 434
- info@policyforum.or.tz