Skip to main content

Mitiririko Haramu ya Fedha (IFFs): Mzigo kwa Bajeti ya Taifa la Tanzania

Submitted by Web Master on 2 July 2025

Mitiririko haramu ya fedha (IFFs) ni changamoto kubwa kwa utengemano wa kiuchumi, hufanya nchi ipoteze mapato makubwa ambayo yangetumika katika kuendeleza sekta muhimu kiuchumi kama vile kilimo. Huu muhtasari wa kisera unachunguza athari ya mitiririko haramu ya fedha (IFFs) katika bajeti ya taifa la Tanzania, kwa kuzingatia sekta ya kilimo. Muhtasari huu unaonesha jinsi fedha zilizopotea kutokana na mitiririko haramu ya fedha zingeweza kuziba pengo la upungufu wa bajeti ya sekta ya kilimo, pia unatoa mapendekezo ya msingi ili kutatua tatizo hili. Pakua PDF kusoma zaidi.

Mobilising More, Losing More: Why Tanzania’s 2025/26 Budget Still Sidesteps the Elephant in the Room?

Submitted by Web Master on 13 June 2025

As Tanzania pushes aggressively to boost domestic resource mobilisation, the 2025/26 national budget emerges as both a beacon of ambition and a mirror reflecting unfinished battles. While the government’s focus on expanding revenue streams and tightening tax incentive management signals progress, it stops short of confronting the systemic bleed caused by illicit financial flows. This silent drain, through trade misinvoicing, tax avoidance, and corruption, remains the overlooked challenge undermining the country’s fiscal foundations.

Illicit Finacial Flows (IFFs): A burden to Tanzania National Budget

Submitted by Web Master on 28 February 2025

Illicit Financial Flows (IFFs) represent a significant challenge to Tanzania’s economic stability, depriving the country of substantial revenue that could support critical sectors such as agriculture. This policy brief examines the impact of IFFs on Tanzania’s national budget, focusing on the agriculture sector. It highlights how funds lost through IFFs could bridge the agriculture budget deficit and provides key recommendations to address the issue.

Subscribe to IFFs