Skip to main content
Submitted by Web Master on 7 October 2016

Ndugu msomaji, tunayo furaha kukuletea kitabu kipya kiitwacho “Mjue Diwani” ikiwa ni mwendelezo wa mkakati wetu wa Kikundi Kazi cha Serikali za Mitaa wa kuwaelimisha wananchi kuhusu utawala wa Serikali za Mitaa na
kukuza uwajibikaji katika jamii.
Dhumuni la kitabu hiki ni kuwasaidia madiwani kujua majukumu yao, wajibu wao, mamlaka yao na mipaka yao na hatimaye waweze kuwatumikia wananchi kwa ufanisi na uadilifu. Pia kitabu hiki kinalenga kuwaelimisha wananchi kuhusu wajibu, mamlaka, majukumu na mipaka ya madiwani ili waweze kudai uwajibikaji kutoka kwa madiwani pale ambapo uwajibikaji unakosekana.

To read more please click here