Skip to main content
Submitted by Web Master on 29 November 2007

Tarehe 26 na 27 Novemba 2007, Kikundi-kazi cha Serikali za Mitaa cha Policy Forum ikisaidiwa na Leadership Forum, kiliandaa warsha kuhusu mwelekeo wa Programu ya Kurekebisha Serikali za Mitaa kilichofanyika mji wa Kibaha. Dhumuni kuu lilikuwa kuwapa fursa maafisa wa TAMISEMI kutoa taarifa kwa wadau kutoka asasi mbalimbali kuhusu maendeleo ya programu hiyo. Vilevile, ilikuwa fursa kwa asasi kuwapa TAMISEMI maoni kuhusu programu inayofuata (2008 – 2013).

Inayofuata ni ripoti ya awali wa warsha hiyo:

 

Attachment Size
LGRP-CSO meeting: Preliminary Report 164.46 KB