Mkukuta ni kifupi cha Mkakati wa Kukuza Uchumi na Kupunguza Umaskini Tanzania. Huu ni mkakati wa kitaifa wa miaka mitano unaolenga kuchochea ukuaji wa uchumi Tanzania na kupunguza umaskini kwa watanzania hususan wa hali ya nchi.
Search
Upcoming Events
There is no upcoming events.
If you have any feedback or you would like to obtain policies related materials, please reach us through:
- P.O. BOX 38486, Dar es Salaam
- (+255) 782 317 434
- info@policyforum.or.tz