Uandikishaji wa wanafunzi wa darasa la kwanza umeendelea kuongezeka tangu kuanzishwa kwa MMEM. Mambo mengi yamechangia kuongezeka kwa uandikishaji yakiwemo kufutwa kwa ada pamoja na kuendelea kuhamasishwa kwa jamii juu ya umuhimu wa wanafunzi wote waliofika umri wa kwenda shule kuandikishwa na kutiliwa mkazo kwa elimu ya msingi.
Search
Upcoming Events
There is no upcoming events.
If you have any feedback or you would like to obtain policies related materials, please reach us through:
- P.O. BOX 38486, Dar es Salaam
- (+255) 782 317 434
- info@policyforum.or.tz